TIMU YA AFYA SHIRIKISHI AMREF HEALTH AFRICA TANZANIA YATEMBELEA BITSS.
Asante sana timu ya Afya shirikishi kutoka Amref Health Africa Tanzania kwa mkoa wetu wa kigoma kutufikia Shule ya sekondari Bitale. Nasi ... [Read More]
ASANTE TANAPA KWA BWENI LA KISASA
Moja ya bafu la bweni hilo lililojengwa na TANAPA. [Read More]
Taswira mbalimbali za ujenzi wa mabweni na madarasa ya kidato cha tano na cha sita
Mafundi wakichanganya zege kwa ajili ya kumwaga juu ya msingi wa moja ya bweni la wanafunzi wa kidato cha tano. [Read More]
Picha mbalimbali katika shughuli ya Ufundaji wanafunzi
Wanafunzi uwa wanakumbana na mambo mengi ambayo yanaweza kuwaaribia masomo yao, kama vile kujiunga na makundi mabaya ya wauni na kujihusi... [Read More]
Matukio picha Kikao cha walimu wote kata ya Bitale tarehe 19/01/2018
MEK (Mratibu Elimu Kata) akimkaribisha mgeni rasmi Mr. Shukrani Karega [Read More]
Ujio wa Afisa Elimu wa Wilaya Kigoma, Ally Nyambate katika shule yetu
Afisa Elimu wa Wilaya Kigoma, Ally Nyambate akisisitiza jambo kwa wanafunzi. Mapema leo tulikuwa na ujio wake katika shule yetu ya Sekond... [Read More]
Bitale Fema Club na Mbogamboga
Bitale Fema Club kutoka Bitale Secondary School Kigoma, mara baada ya kupokea jarida la Fema #39 wakiwa katika kupalilia bustani ... [Read More]
Sheria za Shule
HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA SHULE YA SEKONDARI BITALE Email: bitalesec@gmail.com; Facebook: Bitale Secondary School Reg No. 1... [Read More]
MALENGO YA SHULE 2016/2017
Shule yetu Bitale sekondari katika mwaka 2016/2017 ina malengo yafuatayo: Kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji ili kuwawezesha wanafunzi... [Read More]
Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016 Yatangazwa na Baraza la Mitihani
Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi... [Read More]
Tungo
Tungo ni neno au kifungu cha maneno kinachoweza kutoa taarifa iliyokamili au isiyokamili. Mfano: (a) Kaka anawinda ndege. ... [Read More]


